18 Lyrics – Jay Melody

18 Lyrics - Jay Melody

On June 17, 2024, Tanzanian singer and songwriter Jay Melody released his new song “18”. The lyrics were written by Sharif Saidi Juma, with the music was produced by Mr Lg.

18 lyrics by Jay Melody

Nilipanga Nitapenda Nikifika Miaka 20
Hivi Sasa 18 Sijui Nimepatwa Nini
Kuna Mtu Nampenda Lakini Sijiamini
Sio Kama Najua Sana Kwamba Mapenzi Ni Nini

Ananitoa Kwenye Malengo
Sikupanga Kuingia Kwenye Maupendo
Ananitoa Kwenye Malengo
Vitu Vyake Nvutiwa Kila Engo

Oh Mimi Tafadhali Moyo Wangu
Haya Mapenzi Dhahabu
Tafadhali Kweli Moyo Wangu
Haya Mapenzi Yangu Dhahabu

Bado Najiuliza Kama Ana Hisi
Nnavyo Hisi Ila Najua Kua Hivyo Sio Rahisi
Na Mi Mgeni Wa Mapenzi Nisije
Nikaitiwa Police Nikaumbuka Nikachukia Mapenzi

Penzi Oooh
Penzi Oooh
Usiniumbue Mwenzio
Nikaanza Na Kilio
Eti Ndo Kiinglio

Ananitoa Kwenye Malengo
Sikupanga Kuingia Kwenye Maupendo
Ananitoa Kwenye Malengo
Vitu Vyake Nvutiwa Kila Engo

Oh Mini Tafadhali (We Tafa)
Moyo Wangu (We Moyo)
Haya Mapenzi Dhahabu (Tafa We)
Tafadhali Kweli Moyo Wangu (Oh Moyo)
Haya Mapenzi Yangu Dhahabu

Ololoooo
Mmmmh
Dhahabu
Ooonhooo
Mmmmh
Dhahabu
Once Again


Related Songs –


18 Song Info:

Song Name:18
Lead Vocals:Jay Melody
Written/Lyrics By:Sharif Saidi Juma
Music Produced By:Mr Lg
Music Label:Jay Melody
Release Date:June 17, 2024
Music Video Director:Hanscana

Frequently Asked Questions

Who produced “18” by Jay Melody?

“18” by Jay Melody was produced by Mr Lg.

When did Jay Melody release “18″?

Jay Melody released “18” on June 17, 2024.

Who wrote “18” by Jay Melody?

“18″ by Jay Melody written by ​Sharif Saidi Juma.

Who sang the “18” Song?

The “18” song is sung by Jay Melody.